Jinsi mazingira ya ajira za Uarabuni yalivyo magumu hivi sasa
- Author, Azadeh Misheri, Joel Gunto
- Nafasi, BBC Dubai
- Muda wa kusoma: Dakika 5
Wakati milio ya ving'ora ikisikika angani, Norma huanza kusali kimya kimya.
Norma, mwenye umri wa miaka 49, anafanya kazi kama mfanyakazi wa ndani katika nchi ya Mashariki ya Kati ya Qatar. Anatoka Ufilipino, huku mumewe na watoto wake watatu wakiishi ma...
