Dunia haina budi ila kujadiliana na Iran - Financial Times
Tunaanza uchambuzi wetu na gazeti la the Financial Times na habari yenye mada "Iran huenda ikaibuka kuwa na nguvu na ikawa hatari zaidi baada ya vita hivi"
Uchambuzi huo unasema kuwa Rais wa Marekani Donald Trump "amekuwa akitumia ujuzi kushinikiza adui wake kutumia nguvu walizonazo" na kuongezea kuwa vita vya kibiashara na China viliisha ...
